kiongozi wa kundi la Ze Comedy Isaya Mwakilasa almaarufu kama Wakuvwanga amedai kua nidhamu ndio silaha yao kubwa inayowafanya wadumu hadi leoAkiongea na darhotwire Wakuvwanga ambaye anafahamika kama waziri mkuu aliyejiuzuru au Mama beleee alisema nidhamu ndo silaha ya kundi lao kuwepo hadi leoKumekuwa na udaku wa mara kwa mara unavumishwa kama sie tumesambaratika kutokana na didhamu yetu hilo itakuwa ngumu..
Tofauti yetu na wachekeshaji wengine ni hiyo tu nidhamu na wote kujiona level moja hakuna super star wote ni wamoja na ndio maana kiapokuwepo mwnzetu mmoja nasisi wote tu...alisema WakuvwangaNa walidokeza kinachowapa kiburi cha kuwaigiza watu ni kutokana na kuwa na uhakika na wanachoigiza na ushahidi wa vithibitisho na kuzingatia kuelimisha na kukosoa pamoja na kuburudisha kwa watati mmojaMsomaji wa safu hii endelea kuzuru ukurasa huu ili upate makala za viumbe hawa hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment