Kasi ya maambukizi ya ukimwi katika maeneo ya Feri jijini Dar es Salaam inazidi kuongezeka kutokana na kushamiri kwa vitendo vya ukahaba na matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa vijana.
Hayo yamebanishwa na mratibu wa mafunzo kuhusu udhibiti wa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi Bibi Elina Nachibona. Awali akifungua mafunzo hayo, naibu Meya wa manispaa ya Ilala Mohamed Yakoub amesema kampeni ya elimu ya ukimwi itaendeshwa katika kata zote za manispaa ya Iala na kuwapatia waathirika dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo.
SOURCE: ITV
Saturday, March 1, 2008
Kasi ya maambukizi ya ukimwi katika maeneo ya Feri jijini inazidi kuongezeka
at
11:08 AM
Posted by
Mwanaharakati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment