Tuesday, April 29, 2008

Mwalionaje hili tukio? (Hivi Kweli kuna wachawi?)

Kijana Ramadhani Mussa (18) ambaye amekamatwa na kichwa cha mtoto mwenzie na kuanza kukinyoya damu hadharani pale kwenye lango la Hosptali ya Taifa Muhimbili, alishawahi kukutwa kwenye makanisa kadhaa ya jijini Dar es salaam akidai kudondoka na ungo na kisha kuombewa na wachungaji wa makanisa hayo, lakini mara ya mwisho alionekana ni kijana tapeli tu au wachungaji waliokuwa wakimuombea walikuwa wanafanya usanii kuvutia 'wauimini'!
Awali mtoto huyu inadaiwa alikutwa usiku wa manane kwenye Kanisa la Kilutheran pale Manzese na kuombewa na Mchungaji Jonathan wa Kanisa hilo baada ya kudai kuwa amedondoshwa na wachawi wakiwa kwenye ungo, ingawa waumini wengine walimuona kijana huyo kama mchawi na kutaka kumpiga.

Baadae inadaiwa alipelekwa Hospitali ya Mwananyamala ambako nako alitoweka kimiujiza, kabla ya kukutwa kwenye kanisa lingine Tabata na hatimaye Mikocheni kwa Mchungaji Rwakatare ambako ndiko alipoombewa akiwa na mwenzake kwa muda kabla ya kuambiwa kuwa ni 'matapeli' kwani hizo ndizo zao kujifanya wamedondoka kwenye ungo na kuibukia Makanisani ili kujipatia pesa!
Akiongea na kituo cha ITV jana, Mchungaji Rwakatare, ambaye pia ni Mbunge wa CCM wa kuteuliwa, alisema "Mungu amejitetea mwenyewe" kwa kuonesha kuwa walichokuwa wanakisema kuwa watoto hao walikuwa na mapepo hawakuwa wanaongopa.
"Laiti kama wangewaachia wawaombee, yule mtoto asingekufa wala yasingetokea yaliyotokea, lakini kwa sababu kuna watu wanajaribu kuwa kama Mungu, ndiyo maana haya yote yanatokea!
"Wamuache Mungu awe Mungu", alisema Mchungaji Rwakatare na katika hili inaoenekana mtumishi huyu wa Bwana amejipatia 'tano' zingine!






Haya ni maoni ya ndugu Baha.
Binafsi anadhani hili suala linapaswa kutazamwa katika mapana na mazingira yake,kwa ufupi tumezoea kusikia wachawi wa aina ya huyo mtoto wakila nyama za maiti makaburini ingawa haijawahi kudhibitishwa, wakichukua watu kichawi na kuwapoteza lakini si kwa staili aliyochukuliwa huyu mtoto,huyu alitekwa akajichwa kiwiliwili kikatupwa chooni na kichwa akaondoka nacho huyo mtoto na huko anadai kwamba nyama nyingine wenzake wanaendelea kula!!iweje kikutwe kiwiliwili kama wenzie wapo kweli?na walikuwa wanakula? Hapa jeshi la polisi ikiwezekana kutumia staili ya Abu Ghraib ama hata Guantanamo bay kumhoji huyu mtuhumiwa namba moja nadhani hiyo ifanyike!mara nyingine inabidi tusahau kidogo kuhusu human right ya baadhi ya binadamu! yes apate kibano cha nguvu kama ni kichaa kimtoke na kama ni mashetani yapate adabu yake then atueleze kisa cha kuondoa uhai wa mtoto mzuri kama yule asiyejua hili wala lile!na hao akina Lwakatare na walokole wenzie waendeshe hizo sara basi tuondokane na aina hiyo ya watu!hasa mzizi akina Elizabeth na Kichaka kama anavyodai Sheikh Yahya.Ama hii ni mbinu ya mafisadi kutusahaulisha kwamba kuna EPA, RICHMOND<>

WAJUE MAFISADI NA UOZO WALIOFANYA

FAHAMU UKWELI WA NCHI YAKO KWA MANUFAA YAKO, TAIFA NA JAMII YAKO!!..
Huyu muiran anataka kutwambia nini:Check haya madudu yanayofanyika.
(1). Tanzania ni nchi yenye rasimali na utajiri wa hali ya juu Africa na ulimwenguni, lakini ni masikini ya kutupwa kwa kiwango cha nafasi ya tatu kwa umasikini duniani kwani nyie viongozi wa ngazi za juu mnaleana kukumbatia ufisadi na mafisadi mufilisi ambayo nitayataja leo kwa ufisadi wake

(2). Utajiri wa rasilimali zinazoporwa na mafisadi ulionao zingeweza kufanya mambo makubwa na mazuri yafuatayo:
(i) Kusomesha Watanzania wote bure kuanzia Chekechea hadi kiwango cha PhD
(ii) Kuwalipa posho Watanzania wasio na ajira kila mwezi kama yanavyofanya mataifa yenye utajiri kama wetu
(iii) Kuwa na kilimo na mifugo bora na endelevu yenye kuingiza zaidi ya 60% ya pato la taifa kuliko sasa ambapo sekta hiyo inachangia 12% tu ya pato la taifa kutokana na kuhujumiwa na mafisadi wafanyabiashara kwa manufaa binafisi kma Wasira na Diallo
(iv) Kuwa na matibabu bure kwa kila mtanznia kwani kodi wanazotozwa wafanyakazi, wafanyabiashara na wakulima ni kubwa mno. Pia zaidi ya 90% ya pato la taifa inaporwa na mafisadi uliowaweka katika ngazi ya uwaziri, makatibu wakuu na kurugenzi mbalimbali kote nchini zikiwamo halimashauri
(v)Kuwa na viwanda vikubwa, vya kisasa vyenye kuingizia taifa zaidi ya 46% ya pato la taifa. Lakini cha kushangaza serikali imefunga ndoa na kunguruwaporaji wa uchumi wa kihindi na Kiarabu kama Jeetu P, Chavda na R. Aziz
(vi) Tanzania ingekuwa ni kisiwa cha uzuri na mandhari murua ya maendeleo ya kuja kujifunizia matifa mbalimbali ulimwenguni lakini cha ajabu ndiyo imekuwa jalala la kila nyanja ya umasikini(vii) Ndugu Kikwete, pamoja na kwamba Mafisadi lowassa, karamagi na msabaha wameshaachia ngazi, bado kuna mafisadi wengine uliowakumbatia na kuwaweka karibu na wewe huku wakiifilisi nchi kama mafisi ya kienyeji ni hawa wafuatao:
Zakhia Meghji:-
(A) aligawa holela vitalu vya uwindaji akaipotezea Tanzania Tsh 3,304, 903,050/- akiwa waziri wa Mali Asili na Utalii.Ovyo zaidi hata wanafamilia wake walijiingiza katika ufisadi huo kwa kumiliki baadhi ya vitalu kibadhilifu
(B) Alipotosha ripoti ya mkaguzi wa BOT mwaka 2005/2006
(C) Kuchonga bajeti angamizi ya mwaka 2007/2008
(D) Kuidhinisha matumizi mabovu zaidi ya millioni 143 kwa mawaziri mafisadi kwenda kuifagilia bajeti ya kihuni ya 2007/2008 mikoani. Mafisadi hao hawakusita kukomba millioni 143 Tsh kwenda kuzomewa mikoani.
(E) Kufumbia macho shughuli fisadi na za kitaprli za BOT ambayo iliipatia Tangold ltd Kampuni feki kiasi zaidi ya Sh 37.7 billioni ambayo haikuwa na usajiri wowote, akidanganya kuwa ni matumizi nyeti ya serikali kumbe ni ulaji wake na vigogo wenzake
(F) Kubarikli uporaji wa fedha BOT tsh 18,465,755,495.39/- zilizopelekwa kwenye makampuni mbalimbali feki kuanzia decemba 2005 hadi 2007.

Benjamini Mkapa:
(A) Kufanya biashara akiwa ikulu ambacho ni kinyume kabisa na katiba ya nchi yetu
(B) Kuanzisha makampuni mufilisi akiwa ikulu ambayo yamelipora taifa zaidi ya Tsh 908,798,045,050/- akiwa ikulu hadi leo kwa makampuni ya kihuni kama ANBEN ltd, Fosnik ltd na Tanpower
(C) Wizi wa zaidi ya Tsh Trillioni 8,86 BOT kwenye kampeini za uraisi na ubunge zilizotuwekea rais mufilisi. Mkapa anatakiwa asimame kuelekea kizimbani na kujibu wizi huo ulioifilisi nchi ikawa kama dampo la umasikini
(D) Uporaji fedha za taia hili kupitia ununuzi wa rada feki Tsh 50 billioni ambayo aliishupalia kama ruba
(E) Uuzwaji angamizi wa mashirika ya umma na viwanda kwa hila zote, kwani hata yale yaliyokuwa yakijiendesha kwa faida kubwa yaliuzwa kwa bei ya tupatupa (throw away prices) (F) Kushiriki mikataba mibovu ya madini alilipotezea taifa zaidi ya Tsh 959,588,789,005/- kwa kipindi chote Hivyo huyu ni fisadi lililokubuhu.

Edward Lowassa
(A) Anahusika moja kwa moja na ufisadi kupitia kampuni haramu ya RICHMOND na shoga wake DOWANS ambao wamelipora taifa zaidi y ash billioni 273/- kwa umeme hewa
(B) Upotevu wa sh millioni 12.5 /- kupitia kampuni feki ya Water City ambayo aliibariki licha ya kuambiwa kuwa ilikuwa haifai, lakini E.L. aliing'ang'ania kama alimasi
(C) Kuliingiza taif kwenye mkataba mufilisi ,fisadi na angamizi wa Buzwagi . E.L. alikuwa pamoja na fisadi kuu Karamagi kusaini mkataba angamizi na filisi hotelini uingereza. Hivyo analipotezea taifa zaidi ya billioni 3,895/- kila mwaka kwa muda wa miaka 25 kama ulivyo mkataba
(D) Kujiingiza kwenye uporaji kwa kutumia ujenzi wa mahekalu ya hoteli ambayo hayalingani na kipato chake, akibisha data hallisi tutazianika hadharani.

David Ballali
(A) Amelipotezea taifa kifisadi zaidi ya sh 693,795,398,805.39/- kupitia BOT kwa malipo hewa kwa makampuni hewa ya kitapeli ya EPA, Jeetu P.ltd, Alex Stewart, Tangold ltd, Mwananchi gold co.ltd, Green F. Co.ltd na mengine mengi, (B)Kulipotezea taifa matrillioni ya fedha kwa kukwamisha ukaguzi halisi wa BOT (
C) Trillioni 5.3 alizochota kwa ajiri ya kampeini haramu za urais za mwaka 2005 zilizozaa rais mlea mafisadi – The breeder of corrupt leaders at all level

Basil Pesambili Mramba
(A)Alibarikina kuhusika na uporaji wa sh 17,697,556,594.85/- kutoka BOT akiwa waziri wa fedha kwenda kwa makampuni mbalimbali feki na watu binafsi hasa magabacholi wa kihindi na kiarabu
(B) ununuzi wa ndegefeki ya rais, rada feki ya rais. Alitangaza Watanzania hata wakila majani ndege feki ya rais lazima ingenunuliwa. Je, mr.. Mrmba, uliona Watanzania ni mbuzi hata wale majani?
(C) Uuzaji feki wa Air Tanzania kwa makaburu. Asingeiingilia kikwete Hapa Mrambaji angetajirika ukomo.
(D) Ubinafisaji holela na kwa kiburi na uhujumu wa rasilimali za tiafa kwa masilahi yake akiwa waziri wa fedha , walishirikiana na fisadi ambaye ni rafiki wake wa damu -Abdallah Kigoda

Andrew Chenge
(A) Kalipotezea taifa zaidi ya sh 17,857,616,400/- zilizoporwa na Tangold ltd kutoka BOT . Chenge hili hawezi kukwepa kwani alikuwa mkurugenzi wa Tangold ltd at the same time akiwa mkurugenzi wa BOT
(B) Kulipotezea taifa mabillioni ya fedha kwa kuridhia mikataba mibovu/feki/angamizi ya madini akiwa mwanasheria mkuu wa serikali. Takribani zilipotea zaidi y ash 2,890,687,084,573/- kwa kipindi chake chote. Kama anabisha tutazitoa kwa unyambulisho wake.
(C) Zaidi ya billioni 800 zianpotea kwa mwaka kwa mikataba mibovu ya ujenzi wa barabara ama kwa kuweka makampuni feki ambayo huishia kuchota fedha na kutoroaka nchini na vitita vya fedha. Ana kurugenzi wezi wizarani kwake lakini amefumbia macho kwa manufaa yake binafisi. Chenge unasubiri nini kung'atuka?

Gray Mgonja
(A) Alibariki na kuhisika na uporaji wa sh 17,857,616,400/- BOT kwenda kampuni yao ya tangold ltd akiwa mkurugenzi wa BOT pia hapo hapo akiwa mkurugenzi wa Tangold ltd kampuni ambyo hikuwa na usajili.
(B) Kunyamazia ufisadi wa uporaji wa trillioni za fedha BOT kenda kwenye makampuni hewa akiwa mkurugenzi BOT

Peter Msolla
(A) Uporaji wa sh millioni 5000 zilizokuwa zimetolewa na EUROPEAN OVERSEAS ANGENTS miaka ya 90 akiwa makamu mkuu wa SUA. Fedha hiyo ilikuwa imetolewa kukiendeleza chuo(SUA) kitaaluma, miundo mbinu kama barabara za ndani , tafiti mbalimbali na kuwa dila ya maendeleo ya kanda ya mashariki mwa Tanzania (Morogoro, Pwani, Tanga, Dar-es salaam). Cha ajabu fedha hiyo iliishia kwenye midomo ya mamba mafisadi (Prof Msolla, Prof Ishengoma, Mr A.. Magoma (mhasibu wa kufoji ), keshia Prof Mgongo na maswahiba wao.. Planner mkuu wa wizi huo alikuwa Magoma wakisaidiana na Msolla. Wakaamua kununua magari ya kifahali na kujenga majumba ya kifahali yakiwapo magesti house kwa siri.
(B)Uporaji wa fedha za DANIDA millioni 490 zilizokuwa zimetolewza kwa ajili ya mradi wa OTAITISI (OTITIS) .Fedha hiyo iligawanwa hapo vet –SUA na kunguru mafisadi wachache. Msolaa akachukua 80% ya fedha hiyo na kujenga majumba makubwa ya kifahali . Ng'ombe wa Mradi huo wakaishia kulala kwenye matope yafikapo kwenye kimo cha tumbo lao wakiwa wamesimama.. Wafadhili walikasirika kupita upeo, wakajitoa. Ukweli huu hauhitaji hata kupeleleza pale VET-SUA.
(C) Hujuma ya fedha ya punguzo la wafanyakazi SUA Tsh 2,245,045,000/- ilyotolewa na benki ya dunia 30/6/1996. Ilipangwa kwamba mtu mwenye mshahara mdogo kabisa apewe Tsh millioni 8. Jambo la kushangaza ni kwamba kila mtu aliyepunguzwa kazi alipewa asilimia kumi tu (10%) ya malipo yake. Hivyo mwenye mshahara mdogo alipewa sh 300,000/- tu. Aliyekuwa anatakiwa kulipwa millioni 20/- alipewa millioni tatu tu. Yeye Msolla na mafisadi wenzie (A.Magoma, Prof Luoga akiwa VC-SUA, Prof Mgongo, keshia na maswahiba wao waligawana 90% ya fedha yote iliyotolewa na benki ya dunia... Mafisadi hawa wakawa wanaishi kama wapo peponi. Wakanunua magari ya kifahali na kujenga majumba ya KUFURU yakiwamo magesti house bubu (kwa siri) na kununua mashamba kila kona Mkoani Morogoro.
(D) Wizi wa millioni 442/0 SUA kuamkia tarehe 22/4/2006.Yaani, Kati ya shs 442, shs millioni 400/- zilikuwa peti keshi zilizokusanywa kwa miaka miwili . Hivyo Msolla, Keshia, Prof Luoga na Magoma waliziiba zile millioni 400/- mchana kweupe tarehe 21/4/2006 kutoka kwenye sefu, baadaye wakaingiza sh millioni 42/- za malipo ya wafanya kazi SUA, ndipo kesho yake tarehe 22/4/2006 wakatangaza kuwa sh millioni 42/- za malipo ya wafanyakazi SUA zaibiwa Kwa uhakika zilizohamishwa kiporaji zilikuwa sh millioni 442(millioni 42 zikiwa malipo ya wafanyakazi SUA na millioni 400 zikiwa peti keshi ) . Sababu ya uporaji huo wa kifisadi ni: (i) kujiandaa kwa kustaafu kwa prof. Luoga, Mr Magoma na Msolla (ii) Kutokuwa na imani na kikwete kwani SUA walitegemea Sumayi ndiye angekuwa rais ambaye ni fisadi mwenzao. Hata hivyo hawakujua kuwa hata Kikwete ni mama na mlezi wa mafisadi (iii) Kupata fedha lukuku za kufanyia kampeini za ubunge kwa Msolla na hatimaye uwaziri. Hivyo kesi hiyo aliisimamia Prof Monera kwa ahadi kwamba kama angefanikiwa kuivunja kesi hiyo angekuwa VC. Monera alifanikiwa kuizima kesi hiyo, Prof Luoga na Msolla wakampendekeza kwa rais awe VC ili siri hii isifichuke. Kikwete akaingia kwa jeuri yake kichwakichwa akaweka fisadi pandikizi kuwa VC- la SUA ambalo linakomba fedha ya SUA nay a wafadhili likishirikiana na Mufilisi mwenzie Prof Msolla kiasi kwamba, fedha ya wafadhili inayopitia Wizarani (Sayansi na Elimu ya juu) kwenda SUA igawanwe na kukombwa vizuri.

Joseph Mungai :
(A) Aliingizasilabasi feki kuanzia chekechea hadi elimu ya sekondari kwa Watanzania wa kawaida huku watoto wao wanasoma nje ya nchi.Watoto hapa nchini hawakujua walichokuwa wanasoma, si jogg ama mchemsho. Akaua elimu kupindukia. Alifanya hivyo ili fedha nyingi zibaki wizarani ili azitumie na mafisadi wenzie kwa masilahi binafsi. Zaidi ya billioni 300 zilikuwa zinaliwa wizarani kwa ufisadi huu.
(B) Alikula takribani sh millioni 8/- za bima na rikizo za waalimu na mapunjo mbalimbali ya waalimu yakiwamo ya mishahara ya walimu wa shule za msingi na sekondari.Waalimu wakapiga kelele kudai haki zao wakaonekana kutimiza usemi kwamba KELELE ZA MLANGO HAZIMKOSESHI USINGIZI MWENYE NYUMBA.
(C) Kupora fedha inayobaki wizarani mwisho mwa mwaka. Kapuya alichagua baadhi ya maofisa wa elimu wa mikoa/wilaya na maedimasta wa shule za sekondari ambako alikuwa akituma fedha mwishoni mwa mwaka (mwezi wa 5) na baadaye kutuma wahasibu mafisadi kuifuata fedha hiyo. Alikuwa akipora kati y ash billioni 3-4 kwa mtindo huo kila mwaka alitafuna na maswahiba wake
Juma Ngasongwa (A) Kalipotezea taifa zaidi y ash Billioni 9,845/- kwa kipindi akiwa waziri wa Mali Asili na Utarii kwa kupewa pipi kidogo na kuachia uwindaji haramu na angamizi kwa rasilimali na uchumi wan chi. Ufisadi huu ulimfanya afukuzwe uwaziri wakati wa MZEE RUKSA kwani mzee ruksa alikuwa makini. Hakuwa kama kikwete ambaye amefunga ndoa na mafisadi kama Kapuya, Ngasongwa, Meghji, Ballali, Msolla, Diallo,Benno Ndullu nk. (B) Kuchochea vurugu SUA... Yeye alipoona kuwa wanafunzi wa SUA wamemkataa kwa kuwa alikuwa haeleweki anachofundisha , si DS ama DESKI CHAFU, alianza vurugu zilizomfanya afukuzwe kazi SUA katika miaka ya 90. akakimbilia siasa. Vilevile mzee ruksa akamfukuza kazi Mali asili na utalii katika miaka ya 90. ***** Mkapa akamrudisha kuhujumu, pia Kikwete akameza matapishi hayo hayo.
Stephanop Wasira
(A) Mamillioni ya fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya kupunguza makali ya mbolea ameyakomba.. Yaani, fedha ya sabusidi ya mbolea zaidi y ash billioni 12,5 ameifagia na kufanya bei ya mbolea kuanza kupaa juu kama kunguru kila kukicha katika mikoa ya nyanda za juu kusini –The big four (Mbeya, Iringa, Ruvuma na Rukwa).Kilimo katika mikoa hiyo hutegemea mbolea asilimia mia moja(100%). Sasa mbolea haishikiki kwa wakulima wengi (90%) kwani ni kati y ash 40000/-sh 55000/- kwenye mfuko wa kilo 50. Kwa eka moja inahitajika mifuko 4-5 kutegemea na hali ya udongo husika. Mbaya zaidi , si kikwete wala wasira anayetembelea mikoa ya Mbeya, Iringa ama Rukwa tangu wawahadae wananchi kuwaletea maisha mazuri. Huu ni utapeli wa unaotakiwa ulaaniwe na kila mpenda haki.Kila leo utamwona Kikwete akitembelea KWA WASUKUMA (MWANZA NA SHINYANGA), BUKOBA NA MUSOMA, PWANI NA MOROGORO MAANA AMEYAONA MAJITU HAYO ZUMBUKUKU.

Nazir Karamagi
(A) Kufanya ufisadi wa kusaini mikataba angamizi ya madini kama ya Buzwagi nje ya nchi hotelini!!!!!!!!!!!! Uliolikosesha taifa sh 9,239,389,394.25/- kwa kipindi chote
(B)Kuligharimu taifa zaidi ya billioni 173 kutokana na uroho wa kujitumbukiza kwenye sakata la kampuni tapeli ya RICHMOND na binti ya DOWANS
(C) Kunyamazia kupanda kwa umeme kwa malipa kodi maskini ili kufidia gharama angamizi za TANESCO zinazotokana na mafisadi vigogo kutolipa gharama za umeme.

Ibrahim Msabaha
(A) Kulipotezea taif zaidi y ash billioni 174 kutokana na kufunga ndoa na kampuni mufilisi , feki na tapeli ya RICHMOND . Anatakiwa akamatwe atiwe ndani na alipe deni hilo .

Benno Ndullu
(A) Kabariki ufisadi na uharamia wa sh 693,795,398,800/- zilizohamishwa kijambazi na kaka zake (Ballali, Mramba, Zaakhi M) akiwa naibu gavana wa BOT. Hili halikwepi. Tunajua amewekwa pale na kikwete ili kuficha ushahidi wa mafisadi wenzie wakiwemo watoto wa vigogo. Hapa tayari anaingia kwenye kundi la mafisadi. (B) Kutomshauri kikwete avunje bodi inayoshughulikia kutafuta kiini cha ufisadi BOT,kwani bodi hiyo imejaa mafisadi kama G. Mgonja, Zakhia Meghji nk Hivyo hakuna chochote kitakachofanyika zaidi ya kwenda kuficha ushahidi.

Edward Hosea
(A): Amekomba zaidi ya billioni 65 kwa kupokea rushwa nene na kutoa taarifa feki kwenye uchunguzi wa RICHMOND , sakata la Buzwagi, mikataba mibovu ya madini, sakata na hujuma za wahindi kupanga kwenye nyumba nzuri za National Housing kuliko wazawa, Sakata la DOWANS na hujuma nyingine nyingi... Ni fisadi anayetakiwa ajiyzuru mara moja.

USHAURI KWA WAPINZANI
(1) Shinikizeni kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi itakayochaguliwa na wabunge mseto. Yaani wabunge 2 CCM, 2 CHADEMA, 2 CUF, I TLP, I UDP na isiwajibike kwa kingunge yoyote bali kwa masilahi ya kitaifa. Msipofanya hivyo, mtakuwa wasindikizaji watindikiwa katika uchaguzi wa mwaka 2010. Hata tahahir huwa hashiki moto.
(2) Tembeleeni vijijini mkawaelimishe watu wanaodanganywa na CCM kila kukicha, kwani huko ndiko kuna zaidi ya 85% ya wapiga kura nchini..Wanaishi maisha magumu kama wako mahabusu ya uhaini ndani ya nchi yao lakini hakuna wa kuwaelimisha Kikwete ndio amewasusa watu wa Mbeya, Iringa, Rukwa na Ruvuma huku akiita mikoa hiyo THE BIG FOUR na kunadi kuwa kilimo ni uti wa mgongo na kuwasuta akisema kuwa mbolea ya ruzuku haipo , wasibweteke, watainunua tu hata kama bei yake inapaa kama tai kila kukicha.. Kwa akili finyu ya watanzania, mwaka 2010 atajipitisha kwao na kuwafanya wasahau kuwa aliwahi kudondoka chini akiwahadaa maisha bora katika kura za mwaka 2005. Hivyo wapinzani tembeleeni vijijini maana mjini watu wanawaelewa.
(3) Piteni mkiwaambia watanzania kuwa MAFIGA MATATU YA KIKWETE ni kurudisha utawala wa chama kimoja wenye kubariki kila ufisadi na mafisadi wa uchumi wetu na rasilimali za taifa. Utawala wa kidikiteta na mufilisi bila kuhojiwa na mtu yeyote kwani bunge linakuwa na mafisadi wanaotetea mafisadi , ufisadi na hujuma ya kila aina kwa Watanzania ili mradi tu yapore utajiri wa taifa hili.

USHAURI KWA JK
(1) Wale wote wanaohusika na ufisadi usiwarudishe madarakani(uwaziri ama ukatibu mkuu ama ukurugenzi, kwa mfano
(A)WIZARA YA MIFUGO IMEOZA TANGU WAZIRI WAKE,MAKATIBU WAKUU NA KURUGENZI ZAKE NDIYO MAANA HAIPAFOMU CHOCHOTE. FEDHA ZAIDI YA MILLIONI 600 ZIMEKUWA ZIKITUMWA KWENYE RANCHI ZA KUZALISHA MITAMBA NA KWENDA KUCHUKULIWA BILA KUFANYA KAZI ILIYOKUSUDIWA
(B) WIZARA YA KILIMO OVYO M KWANI MBOLEA ZIMEPANDA NA ZINAPANDA KILA KUKICHA, WASIRA AMEKOMBA FUNGU LA MBOLEA ZA RUZUKU TAKRIBANI BILLIONI 12.5... DATA TUNAZO.
(2) ACHANA NA KUCHAGUA WATU KWA KUFUATA URAFIKI, UKOO, NAFIKIRI UMEYAONA MWENYEWE
imeletwa kwenu kwa niaba ya Yona Maro :- Bonyeza hapa kwa habari zaidi

Habari Ndio Hiyo…….. Maoni ya Wananchi

Ndugu JK.....
Watu wananchi wanasema hivi:
(!).Tanzania ni nchi yenye rasimali na utajiri wa hali ya juu Afrrica na ulimwenguni, lakini ni masikini ya kutupwa kwa kiwango cha nafasi ya tatu kwa umasikini duniani kwani nyie viongozi wa ngazi za juu mnalea n a kukumbatia ufisadi na mafisadi mufilisi ambayo nitayataja leo kwa ufisadi wake


(2). Utajiri wa rasilimali zinazoporwa na mafisadi ulionao zingeweza kufanya mambo makubwa na mazuri yafuatayo:

(i) Kusomesha Watanzania wote bure kuanzia Chekechea hadi kiwango cha PhD

(ii) Kuwalipa posho Watanzania wasio na ajira kila mwezi kama yanavyofanya mataifa yenye utajiri kama wetu

(iii) Kuwa na kilimo na mifugo bora na endelevu yenye kuingiza zaidi ya 60% ya pato la taifa kuliko sasa ambapo sekta hiyo inachangia 12% tu ya pato la taifa kutokana na kuhujumiwa na mafisadi wafanyabiashara kwa manufaa binafisi kma Wasira na Diallo
(iv) Kuwa na matibabu bure kwa kila mtanznia kwani kodi wanazotozwa wafanyakazi, wafanyabiashara na wakulima ni kubwa mno. Pia zaidi ya 90% ya pato la taifa inaporwa na mafisadi uliowaweka katika ngazi ya uwaziri, makatibu wakuu na kurugenzi mbalimbali kote nchini zikiwamo halimashauri

(v)Kuwa na viwanda vikubwa, vya kisasa vyenye kuingizia taifa zaidi ya 46% ya pato la taifa. Lakini cha kushangaza serikali imefunga ndoa nakunguruwaporaji wa uchumi wa kihindi na Kiarabu kama Jeetu P, Chavda naR. Aziz

(vi) Tanzania ingekuwa ni kisiwa cha uzuri na mandhari murua ya maendeleo ya kuja kujifunizia matifa mbalimbali ulimwenguni lakini cha ajabu ndiyo imekuwa jalala la kila nyanja ya umasikini
(vii) Ndugu Kikwete, pamoja na kwamba Mafisadi lowassa, karamagi na msabaha waneshaachia ngazi, bado kuna mafisadi wengine uliowakumbatia na kuwaweka karibu na wewe huku wakiifilisi nchi kama mafisi ya kienyeji ni hawawafuatao:Zakhia Meghji:-
(A) aligawa holela vitalu vya uwindaji akaipotezea Tanzania Tsh 3,304, 903,050/- akiwa waziri wa Mali Asili na Utalii.Ovyo zaidi hata wanafamilia wake walijiingiza katika ufisadi huo kwa kumiliki baadhi ya vitalu kibadhilifu
(B) Alipotosha ripoti ya mkaguzi wa BOT mwaka 2005/2006

(C) Kuchonga bajeti angamizi ya mwaka 2007/2008

(D) Kuidhinisha matumizi mabovu zaidi ya millioni 143 kwa mawaziri mafisadi kwenda kuifagilia bajeti ya kihuni ya 2007/2008 mikoani. Mafisadi hao hawakusita kukomba millioni 143 Tsh kwenda kuzomewa mikoani.

(E) Kufumbia macho shughuli fisadi na za kitaprli za BOT ambayo iliipatia Tangold ltd Kampuni feki kiasi zaidi ya Sh37.7 billioni ambayo haikuwa na usajiri wowote, akidanganya kuwa ni matumizi nyeti ya serikali kumbe ni ulaji wake na vigogo wenzake
(F) Kubarikli uporaji wa fedha BOT tsh 18,465,755,495.39/- zilizopelekwa kwenye makampuni mbalimbali feki kuanzia decemba 2005 hadi 2007. Benjamini Mkapa:

(A) Kufanya biashara akiwa ikulu ambacho ni kinyume kabisa na katiba ya nchi yetu

(B) Kuanzisha makampuni mufilisi akiwa ikulu ambayo yamelipora taifa zaidi ya Tsh 908,798,045,050/- akiwa ikulu hadi leo kwa makampuni ya kihuni kama ANBEN ltd, Fosnik ltd na Tanpower
(C) Wizi wa zaidi ya Tsh Trillioni 8,86 BOT kwenye kampeini za uraisi na ubunge zilizotuwekea rais mufilisi. Mkapa anatakiwa asimame kuelekea kizimbani na kujibu wizi huo ulioifilisi nchi ikawa kama dampo la umasikini
(D) Uporaji fedha za taia hili kupitia ununuzi wa rada feki Tsh 50 billioni ambayo aliishupalia kama ruba
(E) Uuzwaji angamizi wa mashirika ya umma na viwanda kwa hila zote, kwani hata yale yaliyokuwa yakijiendesha kwa faida kubwa yaliuzwa kwa bei ya tupatupa (throw away prices)
(F) Kushiriki mikataba mibovu ya madini alilipotezea taifa zaidi ya Tsh 959,588,789,005/- kwa kipindi chote Hivyo huyu ni fisadi lililokubuhu. Edward Lowassa

(A) Anahusika moja kwa moja na ufisadi kupitia kampuni haramu ya RICHMOND na shoga wake DOWANS ambao wamelipora taifa zaidi y ash billioni 273/- kwa umeme hewa

(B) Upotevu wa sh millioni 12.5 /- kupitia kampuni feki ya Water City ambayo aliibariki licha ya kuambiwa kuwa ilikuwa haifai, lakini E.L. aliing'ang'ania kama alimasi

(C) Kuliingiza taif kwenye mkataba mufilisi ,fisadi na angamizi wa Buzwagi . E.L. alikuwa pamoja na fisadi kuu Karamagi kusaini mkataba angamizi na filisi hotelini uingereza.Hivyo analipotezea taifa zaidi ya billioni 3,895/- kila mwaka kwa muda wa miaka 25 kama ulivyo mkataba

(D) Kujiingiza kwenye uporaji kwa kutumia ujenzi wa mahekalu ya hoteli ambayo hayalingani na kipato chake, akibisha data hallisi tutazianika hadharani. David Ballali

(A) Amelipotezea taifa kifisadi zaidi ya sh693,795,398,805.39/- kupitia BOT kwa malipo hewa kwa makampuni hewa ya kitapeli ya EPA, Jeetu P.ltd, Alex Stewart, Tangold ltd, Mwananchi gold co.ltd, Green F. Co.ltd na mengine mengi,

(B)Kulipotezea taifa matrillioni ya fedha kwa kukwamisha ukaguzi halisi wa BOT

(C) Trillioni 5.3 alizochota kwa ajiri ya kampeini haramu za urais za mwaka 2005 zilizozaa rais mlea mafisadi - The breeder of corrupt leaders at all level Dasil Pesambili Mramba

(A)Alibarikina kuhusika na uporaji wa sh17,697,556,594.85/- kutoka BOT akiwa waziri wa fedha kwenda kwa makampuni mbalimbali feki na watu binafsi hasa magabacholi wa kihindi na kiarabu

(B) ununuzi wa ndegefeki ya rais, rada feki ya rais. Alitangaza Watanzania hata wakila majani ndege feki ya rais lazima ingenunuliwa. Je, mr. Mrmba, uliona Watanzania ni mbuzi hata wale majani?

(C) Uuzaji feki wa Air Tanzania kwa makaburu. Asingeiingilia kikwete Hapa Mrambaji angetajirika ukomo.

(D) Ubinafisaji holela na kwa kiburi na uhujumu wa rasilimali za tiafa kwa masilahi yake akiwa waziri wa fedha , walishirikiana na fisadi ambaye ni rafiki wake wa damu -Abdallah Kigoda Andrew Chenge

(A) Kalipotezea taifa zaidi ya sh 17,857,616,400/- zilizoporwa na Tangold ltd kutoka BOT . Chenge hili hawezi kukwepa kwani alikuwa mkurugenzi wa Tangold ltd at the same time akiwa mkurugenzi wa BOT

(B) Kulipotezea taifa mabillioni ya fedha kwa kuridhia mikataba mibovu/feki/angamizi ya madini akiwa mwanasheria mkuu wa serikali. Takribani zilipotea zaidi y ash 2,890,687,084,573/- kwa kipindi chake chote. Kama anabisha tutazitoa kwa unyambulisho wake.
(C) Zaidi ya billioni 800 zianpotea kwa mwaka kwa mikataba mibovu ya ujenzi wa barabara ama kwa kuweka makampuni feki ambayo huishia kuchota fedha na kutoroaka nchini na vitita vya fedha.Ana kurugenzi wezi wizarani kwake lakini amefumbia macho kwa manufaa yake binafisi. Chenge unasubiri nini kung'atuka? Gray Mgonja

(A) Alibariki na kuhisika na uporaji wa sh 17,857,616,400/- BOT kwenda kampuni yao ya tangold ltd akiwa mkurugenzi wa BOT pia hapo hapo akiwa mkurugenzi wa Tangold ltd kampuni ambyo hikuwa na usajili.

(B) Kunyamazia ufisadi wa uporaji wa trillioni za fedha BOT kenda kwenye makampuni hewa akiwa mkurugenzi BOT Peter Msolla

(A) Uporaji wa sh millioni 5000 zilizokuwa zimetolewa na EUROPEAN OVERSEAS ANGENTS miaka ya 90 akiwa makamu mkuu wa SUA. Fedha hiyo ilikuwa imetolewa kukiendeleza chuo(SUA) kitaaluma, miundo mbinu kama barabara za ndani , tafiti mbalimbali na kuwa dila ya maendeleo ya kanda ya mashariki mwa Tanzania (Morogoro, Pwani, Tanga, Dar-es salaam). Cha ajabu fedha hiyo iliishia kwenye midomo ya mamba mafisadi (Prof Msolla, Prof Ishengoma, Mr A. Magoma (mhasibu wa kufoji ), keshia Prof Mgongo na maswahiba wao.. Planner mkuu wa wizi huo alikuwa Magoma wakisaidiana na Msolla. Wakaamua kununua magari ya kifahali na kujenga majumba ya kifahali yakiwapo magesti house kwa siri.

(B)Uporaji wa fedha za DANIDA millioni 490 zilizokuwa zimetolewza kwa ajili ya mradi wa OTAITISI (OTITIS) .Fedha hiyo iligawanwa hapo vet -SUA na kunguru mafisadi wachache. Msolaa akachukua 80% ya fedha hiyo na kujenga majumba makubwa ya kifahali . Ng'ombe wa Mradi huo wakaishia kulala kwenye matope yafikapo kwenye kimo cha tumbo lao wakiwa wamesimama.. Wafadhili walikasirika kupita upeo, wakajitoa. Ukweli huu hauhitaji hata kupeleleza pale VET-SUA.

(C) Hujuma ya fedha ya punguzo la wafanyakazi SUA Tsh 2,245,045,000/- ilyotolewa na benki ya dunia 30/6/1996. Ilipangwa kwamba mtu mwenye mshahara mdogo kabisa apewe Tsh millioni 8.
Jambo la kushangaza ni kwamba kila mtu aliyepunguzwa kazi alipewa asilimia kumi tu (10%) ya malipo yake. Hivyo mwenye mshahara mdogo alipewa sh 300,000/- tu.
Aliyekuwa anatakiwa kulipwa millioni 20/- alipewa millioni tatu tu. Yeye Msolla na mafisadi wenzie (A.Magoma, Prof Luoga akiwa VC-SUA, Prof Mgongo, keshia na maswahiba wao waligawana 90% ya fedha yote iliyotolewa na benki ya dunia. Mafisadi hawa wakawa wanaishi kama wapo peponi. Wakanunua magari ya kifahali na kujenga majumba ya KUFURU yakiwamo magesti house bubu (kwa siri) na kununua mashamba kila kona Mkoani Morogoro.

(D) Wizi wa millioni 442/0 SUA kuamkia tarehe 22/4/2006.Yaani, Kati ya shs 442, shs millioni 400/- zilikuwa peti keshi zilizokusanywa kwa miaka miwili .
Hivyo Msolla, Keshia, Prof Luoga na Magoma waliziiba zile millioni 400/- mchana kweupe tarehe 21/4/2006 kutoka kwenye sefu, baadaye wakaingiza sh millioni 42/- za malipo ya wafanya kazi SUA, ndipo kesho yake tarehe22/4/2006 wakatangaza kuwa sh millioni 42/- za malipo ya wafanyakazi SUA zaibiwa Kwa uhakika zilizohamishwa kiporaji zilikuwa sh millioni 442(millioni 42 zikiwa malipo ya wafanyakazi SUA na millioni 400 zikiwa peti keshi ) . Sababu ya uporaji huo wa kifisadi ni:

(i) kujiandaa kwa kustaafu kwa prof. Luoga, Mr Magoma na Msolla
(ii) Kutokuwa na imani na kikwete kwani SUA walitegemea Sumayi ndiye angekuwa rais ambaye ni fisadi mwenzao. Hata hivyo hawakujua kuwa hata Kikwete ni mama na mlezi wa mafisadi
(iii) Kupata fedha lukuku za kufanyia kampeini za ubunge kwa Msolla na hatimaye uwaziri.Hivyo kesi hiyo aliisimamia Prof Monera kwa ahadi kwamba kama angefanikiwa kuivunja kesi hiyo angekuwa VC.
Monera alifanikiwa kuizima kesi hiyo,
Prof Luoga na Msolla wakampendekeza kwa rais awe VC ili siri hii isifichuke.Kikwete akaingia kwa jeuri yake kichwakichwa akaweka fisadi pandikizi kuwaVC- la SUA ambalo linakomba fedha ya SUA nay a wafadhili likishirikiana na Mufilisi mwenzie Prof Msolla kiasi kwamba, fedha ya wafadhili inayopitia Wizarani (Sayansi na Elimu ya juu) kwenda SUA igawanwe na kukombwa vizuri. Joseph Mungai

A) Aliingizasilabasi feki kuanzia chekechea hadi elimu ya sekondari kwa Watanzania wa kawaida huku watoto wao wanasoma nje ya nchi.
Watoto hapa nchini hawakujua walichokuwa wanasoma, si jogg ama mchemsho. Akaua elimu kupindukia.
Alifanya hivyo ili fedha nyingi zibaki wizarani ili azitumie na mafisadi wenzie kwa masilahi binafsi.
Zaidi ya billioni 300 zilikuwa zinaliwa wizarani kwa ufisadi huu.

(B) Alikula takribani sh millioni 8/- za bima na rikizo za waalimu na mapunjo mbalimbali ya waalimu yakiwamo ya mishahara ya walimu wa shule za msingi na sekondari.
Waalimu wakapiga kelele kudai haki zao wakaonekana kutimiza usemi kwamba KELELE ZA MLANGO HAZIMKOSESHI USINGIZI MWENYE NYUMBA.

(C) Kupora fedha inayobaki wizarani mwisho mwa mwaka. Kapuya alichagua baadhi ya maofisa wa elimu wa mikoa/wilaya na maedimasta wa shule za sekondari ambako alikuwa akituma fedha mwishoni mwa mwaka (mwezi wa 5) na baadaye kutuma wahasibu mafisadi kuifuata fedha hiyo. Alikuwa akipora kati ya sh billioni3-4 kwa mtindo huo kila mwaka alitafuna na maswahiba wake Juma Ngasongwa

(A) Kalipotezea taifa zaidi y ash Billioni 9,845/- kwa kipindi akiwa waziri wa Mali Asili na Utarii kwa kupewa pipi kidogo na kuachia uwindaji haramu na angamizi kwa rasilimali na uchumi wan chi.Ufisadi huu ulimfanya afukuzwe uwaziri wakati wa MZEE RUKSA kwani mzee ruksa alikuwa makini. Hakuwa kama kikwete ambaye amefunga ndoa na mafisadi kama Kapuya, Ngasongwa, Meghji, Ballali, Msolla, Diallo,Benno Ndullu nk.

(B) Kuchochea vurugu SUA. Yeye alipoona kuwa wanafunzi wa SUA wamemkataa kwa kuwa alikuwa haeleweki anachofundisha , si DS ama DESKI CHAFU, alianza vurugu zilizomfanya afukuzwe kazi SUA katika miaka ya 90. akakimbilia siasa.Vilevile mzee ruksa akamfukuza kazi Mali asili na utalii katika miaka ya 90.Bwege Mkapa akamrudisha kuhujumu, pia Kikwete akameza matapishi hayo hayo. Stephanop Wasira

(A) Mamillioni ya fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya kupunguza makali ya mbolea ameyakomba.
Yaani, fedha ya sabusidi ya mbolea zaidi y ash billioni 12,5 ameifagia na kufanya bei ya mbolea kuanza kupaa juu kama kunguru kila kukicha katika mikoa ya nyanda za juu kusini -The big four (Mbeya, Iringa, Ruvuma na Rukwa).
Kilimo katika mikoa hiyo hutegemea mbolea asilimia mia moja(100%). Sasa mbolea haishikiki kwa wakulima wengi(90%) kwani ni kati y ash 40000/-sh 55000/- kwenye mfuko wa kilo 50. Kwa eka moja inahitajika mifuko 4-5 kutegemea na hali ya udongo husika. Mbaya zaidi , si kikwete wala wasira anayetembelea mikoa ya Mbeya, Iringa ama Rukwa tangu wawahadae wananchi kuwaletea maisha mazuri.
Huu ni utapeli wa unaotakiwa ulaaniwe na kila mpenda haki.Kila leo utamwona Kikwete akitembelea KWA WASUKUMA (MWANZA NA SHINYANGA), BUKOBA NA MUSOMA, PWANI NA MOROGORO MAANA AMEYAONA MAJITU HAYO ZUMBUKUKU.
Nazir Karamagi (A) Kufanya ufisadi wa kusaini mikataba angamizi ya madini kama ya Buzwagi nje ya nchi hotelini!!!!!!!!!!!! Uliolikosesha taifa sh9,239,389,394.25/- kwa kipindi chote

(B)Kuligharimu taifa zaidi ya billioni173 kutokana na uroho wa kujitumbukiza kwenye sakata la kampuni tapeli ya RICHMOND na binti ya DOWANS

(C) Kunyamazia kupanda kwa umeme kwa malipa kodi maskini ili kufidia gharama angamizi za TANESCO zinazotokana na mafisadi vigogo kutolipa gharama za umeme. Ibrahim Msabaha

(A) Kulipotezea taif zaidi y ash billioni 174 kutokana na kufunga ndoa na kampuni mufilisi , feki na tapeli ya RICHMOND . Anatakiwa akamatwe atiwe ndani na alipe deni hilo . Benno Ndullu
(A) Kabariki ufisadi na uharamia wa sh 693,795,398,800/- zilizohamishwa kijambazi na kaka zake (Balali, Mramba, Zaakhi M) akiwa naibu gavana wa BOT.
Hili halikwepi. Tunajua amewekwa pale na kikwete ili kuficha ushahidi wa mafisadi wenzie wakiwemo watoto wa vigogo. Hapa tayari anaingia kwenye kundi la mafisadi.

(B) Kutomshauri kikwete avunje bodi inayoshughulikia kutafuta kiini cha ufisadi BOT,kwani bodi hiyo imejaa mafisadi kama G. Mgonja, Zakhia Meghji nk Hivyo hakuna chochote kitakachofanyika zaidi ya kwenda kuficha ushahidi. Edward Hosea

(A): Amekomba zaidi ya billioni 65 kwa kupokea rushwa nene na kutoa taarifa feki kwenye uchunguzi wa RICHMOND , sakata la Buzwagi, mikataba mibovu ya madini, sakata na hujuma za wahindi kupanga kwenye nyumba nzuri za National Housing kuliko wazawa, Sakata la DOWANS na hujuma nyingine nyingi.
Ni fisadi anayetakiwa ajiyzuru mara moja.USHAURI KWA WAPINZANI(1) Shinikizeni kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi itakayochaguliwa nawabunge mseto.
Yaani wabunge 2 CCM, 2 CHADEMA, 2 CUF, I TLP, I UDP na isiwajibike kwa kingunge yoyote bali kwa masilahi ya kitaifa. Msipofanya hivyo, mtakuwa wasindikizaji watindikiwa katika uchaguzi wa mwaka 2010. Hata tahahir huwa hashiki moto.(2) Tembeleeni vijijini mkawaelimishe watu wanaodanganywa na CCM kilakukicha, kwani huko ndiko kuna zaidi ya 85% ya wapiga kura nchini..
Wanaishi maisha magumu kama wako mahabusu ya uhaini ndani ya nchi yao lakini hakuna wa kuwaelimisha Kikwete ndio amewasusa watu wa Mbeya, Iringa, Rukwa na Ruvuma huku akiita mikoa hiyo THE BIG FOUR na kunadi kuwa kilimo ni uti wa mgongo na kuwasuta akisema kuwa mbolea ya ruzuku haipo , wasibweteke, watainunua tu hata kama bei yake inapaa kama tai kila kukicha..
Kwa akili finyu ya watanzania, mwaka 2010 atajipitisha kwao na kuwafanya wasahau kuwa aliwahi kudondoka chini akiwahadaa maisha bora katika kura za mwaka 2005.
Hivyo wapinzani tembeleeni vijijini maana mjini watu wanawaelewa.

(3) Piteni mkiwaambia watanzania kuwa MAFIGA MATATU YA KIKWETE nikurudisha utawala wa chama kimoja wenye kubariki kila ufisadi na mafisadi wa uchumi wetu na rasilimali za taifa.
Utawala wa kidikiteta na mufilisi bila kuhojiwa na mtu yeyote kwani bunge linakuwa na mafisadi wanaotetea mafisadi , ufisadi na hujuma ya kila aina kwa Watanzania ili mradi tu yapore utajiri wa taifa hili.USHAURI KWA JK

(1) Wale wote wanaohusika na ufisadi usiwarudishe madarakani(uwaziri amaukatibu mkuu ama ukurugenzi, kwa mfano

(A)WIZARA YA MIFUGO IMEOZA TANGU WAZIRI WAKE,MAKATIBU WAKUU NA KURUGENZI ZAKE NDIYO MAANA HAIPAFOMU CHOCHOTE.FEDHA ZAIDI YA MILLIONI 600 ZIMEKUWA ZIKITUMWA KWENYE RANCHI ZA KUZALISHA MITAMBA NA KWENDA KUCHUKULIWA BILA KUFANYA KAZI ILIYOKUSUDIWA

(B) WIZARA YA KILIMO OVYO M KWANI MBOLEA ZIMEPANDA NA ZINAPANDA KILA KUKICHA, WASIRA AMEKOMBA FUNGU LA MBOLEA ZA RUZUKU TAKRIBANI BILLIONI 12.5. DATA TUNAZO.

(2)ACHANA NA KUCHAGUA WATU KWA KUFUATA URAFIKI, UKOO, NAFIKIRI UMEYAONAMWENYEWE

Yona Maro

Membe na Chenge wavurunda mkataba Uchina

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameelezwa kukerwa na jinsi mawaziri wa serikali yake wanavyofanyakazi bila uangalifu. Watu waliokaribu na Rais Kikwete na walioongozana naye katika ziara ya India, China na Marekani, waliliambia gazeti hili kuwa kukwerwa huko kulitokana na baadhi ya mawaziri kuharibu mkataba.
Walisema kuwa mkataba huo uliokuwa kwa upande mmoja usainiwe na waziri wa Tanzania na upande mwingine waziri wa China, uliharibika baada ya kusainiwa na mawaziri wawili wa Tanzania, hivyo kuharibu itifaki.
Wakizungumza kwa sharti la kutokutajwa majina gazetini, walisema kuwa mkataba huo ulikuwa batili baada ya kusainiwa na mawaziri hao waandamizi, hali iliyomfanya Rais Kikwete kuja juu kutokana na uzembe huo.Vyanzo hivyo vya habari vilidai kuwa mkataba huo ulisainiwa na mawaziri hao wawili kutokana na jinsi ulivyokuwa umeendaliwa licha ya ukweli kwamba ulikuwa ukihusu zaidi wizara moja.
Walidai kuwa mkataba huo uliokuwa ukihusisha masuala ya wizara ya miundombinu, katika mazingira yasiyoeleweka ulianza kusainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe na kisha kusainiwa na aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Andrew Chenge.
Vyanzo hivyo vilidai kuwa Waziri Membe alisaini mkataba huo baada ya kuwepo kwa sehemu yake ya kusaini, huku nyuma kukiwa na sehemu ya kusaini Chenge.
Kulingana na vyanzo hivyo, inadaiwa kuwa baada ya kusainiwa, mkataba huo ulikuwa batili kwa kuwa ulipaswa kuhusisha waziri mmoja wa Tanzania na mwingine wa China.
Hata hivyo haikuweza kufahamika mara moja aliyehusika na uzembe huo katika mkataba huo ambao unadaiwa uliandaliwa mapema tangu kuwapo kwa taarifa ya safari ya Rais Kikwete nchini China.
Pia haikuweza kufahamika hatua ambazo Rais Kikwete anaweza kuzichukua dhidi ya mawaziri wake hao kutokana na uzembe wa kuandaa mikataba kama ilivyojitokeza.

Wednesday, April 23, 2008

Rais mtaafu Mkapa, mkewe waumbuliwa bungeni kwa mgodi wa Kiwira










MBUNGE wa Vunjo, Aloyce Kimaro (CCM), amewatuhumu Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, mkewe Mama Anna Mkapa na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kuwa walinunua mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira, wilayani Rungwe, Mbeya kwa kificho.

Mbunge huyo alidai bungeni jana kuwa mwaka 2004, Mkapa kwa kushirikiana na mkewe pamoja na Yona, walianzisha Kampuni ya TanPower Resources Ltd na mwaka mmoja baadaye wakauziwa machimbo ya Kiwira kimya kimya.

Kimaro alitoa madai hayo alipokuwa akichangia Muswada wa Sheria ya Umeme wa Mwaka 2008, bungeni, mjini hapa juzi jioni.

Alidai kuwa katika mauziano hayo ya siri, Kampuni ya TanPower Resources Limited,
ilikuwa iilipe serikali Sh700milioni katika mradi huo uliogharimu, zaidi ya Sh4bilioni, lakini kampuni hiyo ilifanya malipo ya awali ya Sh70milioni tu.

"Waliuziwa kwa Sh700milioni bila kutangazwa na wao wakalipa down payment (malipo
ya awali)Sh70 milioni," alisema Kimaro.

Aliendelea kudai kuwa mwaka 2006, Mkapa, Anna na Yona, waliingia mkataba na Shirika la
Umeme nchini (Tanesco) kwa ajili ya kufua umeme kwa makubaliano ya kulipwa Gharama za uwekezaji ('capacity charge') Sh146milioni kila siku, bila kujali kwamba wamefua umeme au la.
"Sasa mimi nauliza huu ni uadilifu kweli? Haya ni maadili kweli? Tufike mahala
tuseme inatosha. Hivi tunawafundisha nini vijana hawa ambao ni mawaziri?," alihoji
Kimaro na kuongeza:

"Rais Jakaya Kikwete alisema urais wake hauna ubia na mtu. Basi aseme huu ni mwisho kwa wanaotuhujumu, tuwaambie basi na washughulikiwe kwa mujibu wa sheria."

Awali, akichangia muswada huo, Kimaro alisema ipo haja ya kuwa makini katika kuupitisha muswada huo kwa kuwa wawekezaji watakaokuja kuwekeza katika umeme, si rahisi kwenda vijijini kusambaza nishati hiyo.

Kutokana na hali hiyo, aliitaka serikali kuifufua Tanesco kwa kuipa fedha ili (serikali) iwe na chombo chake cha kuzalisha umeme.

Naye Mbunge wa Mpanda Kati (Chadema), Said Amour Arfi, alishangazwa namna serikali
inavyotumia nguvu nyingi kuupitisha muswada huo.

Alisema haafiki kupitishwa kwa muswada huo na kuongeza kuwa nguvu inayotumika kuharakisha kupitishwa muswada huo si ya kawaida.

Alisema hoja ya kuwa muswada huo ukipita, wananchi wa vijijini watapata umeme wa bei rahisi, haina nguvu.

Alitoa mfano wa Kampuni ya Artumas ambayo baadhi ya wabunge waliipigia debe, kwamba haitaweza kuondoa matatizo ya umeme.

Tanesco itaingiaje katika ushindani wakati ikiwa hoi? Tanesco inavishwa majukumu
ya kisiasa,? alisema na kuonya kwamba wawekezaji watakaokuja si ajabu wakafanana na hadithi ya ubinafsishwaji wa Benki ya NMB.

Alikumbusha kuwa wakati NMB inabinafsishwa, ilisemwa kuwa itakuwa benki ya wananchi
na itawafikia watu wengi, lakini leo hii ukitaka kufungua tawi vijijini wana vigezo vyao na si jambo rahisi kufika huko.

?Na hao (wawekezaji) wakija, wataweka vigezo vyao vya kusambaza umeme vijijini ambavyo havitawawezesha wananchi wa huko kunufaika na huduma hiyo,? alibainisha.

Naye Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela alimwangaliza Waziri wa Nishati
na Madini, William Ngeleja, kutambua aina ya wawekezaji wanaotarajiwa kuwekeza katika sekta ya umeme baada ya sheria mpya ya sekta hiyo kupitishwa, kwani ndiyo watakaomwangusha ama kumwinua.

?Nakupa angalizo Mheshimiwa Waziri, ujue kuwa aina ya wawekezaji watakaoingia katika sekta ya nishati ndiyo watakaokuangusha au kukuinua, wapo Watanzania wenzetu wanajiandaa kuingia katika biashara hiyo, wengine ni wale walionufaika na mikataba mibovu kama ule wa Richmond,? alitahadharisha Mbunge huyo.

Alidai kuwa baadhi ya Watanzania, hususani walionufaika na mikataba inayolitia hasara Tanesco, wameanza kujiandaa kuwekeza kwenye sekta hiyo.

Alisema kuwa, kimsingi ni muhimu kwa serikali kuhakikisha kuwa Tanesco inakuwa imara katika kipindi hiki cha ushindani, ambacho kinahitaji nguvu zaidi kwa shirika hilo la umeme ili kukabiliana na ushindani utakaotokana na kupitishwa kwa sheria hiyo.

Aliangaliza kuwa serikali inatakiwa kutambua kuwa Mtanzania wa leo anaitambua nchi yake na hivyo kuna umuhimu mkubwa kuwa na ufahamu kwamba mageuzi ya kiuchumi ni muhimu na sharti yajengwe palipo na mfumo imara wa usambazaji wa umeme.

Kwa upande wake Mbunge wa Moshi Mjini (Chadaema), Philemon Ndesamburo ambaye mbali
ya kuunga mkono hoja hiyo alishauri kuwa umeme usiwe kitu cha anasa na badala yake kiweze kupatikana kwa kila mtu anayekihitaji.

Mbunge huyo wa Moshi Mjini alishauri kuwa pamoja na umuhimu wa serikali kuingia katika mfumo huo mpya, jambo muhimu ni kuhakikisha kuwa maeneo ya mipakani yakatumia fursa ya kuwepo umeme kutoka nchi jirani.
Na Muhibu Said, Dodoma

Katibu Chadema, viongozi wa dini, wengine 12 watupwa rumande Buzwagi

KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Kahama , Lucas Petro (52) na wakazi wengine 13 , wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kufanya mkusanyiko usio halali katika mgodi wa Buzwagi kushinikiza walipwe fidia.

Mratibu Msaidizi wa Polisi Mayila Kisanjo, aliwataja wengine Mahakama ya Wilaya ya Kahama mbele ya Hakimu Hassani kuwa ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Nyahanga, Simon Charles (45) , Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Chapulwa kupitia Chama cha Tanzania Labour (TLP), Tabo Majabi (48) na Juma Protas (40).

Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God (EAGT), Issa Issa (28), Mwalimu wa dini ya kiislamu Kahama Mjini, Jumanne Ntalula (48), balozi katika Kijiji cha Mwime na Mapande Machibya (56), ambaye ni mkulima kijiji cha Chapulwa.

Masanja Kashinje (50), Mathias John (45), Magaka Paulo (23), Bundala Makoye (26), Gema Maganga (41), wakazi wa Kijiji cha Mwendakulima.

Wengine ni Amos Malimi (53), mkazi wa Kijiji cha Mwime na Daudi Msuya (61), mfanyabiashara wa Kahama mjini.

Alidai kuwa washtakiwa hao wanadaiwa kufanya mkusanyiko usio halali katika lango la makao makuu ya mgodi huo, uliopo Kijiji cha Mwime kushinikizwa kulipwa fidia

Washtakiwa hao ambao walitiwa nguvuni juzi asubuhi, walikanusha mashtakana kupelekwa rumande katika Gereza la Wilaya ya Kahama hadi Mei 2, kesi yao itakapotajwa tena.

Na Zulfa Mfinanga, Shinyanga

Wakazi wa Buzwagi watawanywa kwa risasi, mabomu

Familia 500 zataka kurejea katika makazi yao mgodini

WANANCHI waliohamishwa kupisha ujenzi wa Mgodi wa Buzwagi, wilayani Kahama jana walitawanywa kwa risasi na mabomu ya kutoa machozi yaliyokuwa yakipigwa na Polisi kuzima jaribio lao la kutaka kurudi kwa nguvu katika makazi yao.


Jaribio hilo ambalo lilitangazwa juzi na wananchi hao lilianza alfajiri jana
baada ya wananchi hao kukusanyika kwa wingi wakiwa na mabango mbalimbali wakitaka kurudi kwa nguvu kwenye makazi yao ambayo yapo ndani ya uzio wa Mgodi wa Buzwagi.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Magesa Mulongo alisema kuwa kabla ya wananchi hao kutaka kuvamia kurudi kwenye makazi yao walisambaza ujumbe kwenye simu za mikononi ikiwemo simu yake unaodai kuwa umetoka kwa mtu mwenye nguvu ya kushawishi wananchi.

Mulongo alisema katika ujumbe huo, wananchi walidai kwa kuwa hawana uwezo wa kuinunua dola(serikali) ili iwatusaidie, watadai haki yao kwa kuweka rehani damu yao na kwamba ujumbe huo ulisambazwa kwa viongozi mbalimbali wa Serikali.

Alisema wananchi hao tayari wamelipwa fidia kwa asilimia 98, lakini baada ya kutumia vibaya fedha hizo, wamerudi kudai upya kwa maelezo kwamba walipunjwa wakati wa kuingia mkataba wa fidia na Kampuni ya Barrick.

Kufuatia tukio la jana, ambapo watu14 wanashikiliwa na polisi wilayani hapa, Mulongo alifahamisha kuwa wananchi hao walivamia mgodi huo kwa lengo la kuuhujumu.

Alisema licha ya Kamati ya Ulinzi na Usalama kuwazuia kuvamia eneo hilo, waligoma kuondoka kwa madai ya kwamba mpaka Mbunge wao James Lembeli afike mgodini hapo.

Wananchi hao waliokuwa wakipiga makelele wakidai kuwa wamiliki wa mgodi huo
ni makaburu na mafisadi, walidai kuwa mbuge wao aliwaagiza kuwa warudi katika
maeneo yao ambayo tayari walikwishalipwa fedha na nyumba zao kubomolewa kupisha ujenzi wa mgodi huo.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya, kampuni ya Barrick ilikwishajenga nyumba 205 za fidia kwa wananchi walioondolewa, lakini nyumba 50 kati ya hizo bado zipo wazi baada ya wenyewe kugoma kuhamia, kwa sababu zisizoeleweka.

Mgodi huo wa Buzwagi umejumuisha vijiji vitatu, ambapo katika kijiji cha Mwendakulima tayari wote wameondoka na Mwime, familia tisa zimegoma huku zikiwa zimelipwa fidia na bado zimo ndani ya uzio wa kampuni hiyo.

Mulongo alisema kuwa katika Kijiji cha Chapulwa familia nne zimegoma kuondoka zikiwa zimelipwa fidia isipokuwa moja ambayo ilikataa kupokea.

Katika tukio la jana wananchi hao wapatao zaidi ya 500 walikuwa wamezingira lango
kuu la kuingia mgodini hapo.

Licha Mkuu Wilaya kuwata waondoke wakafanye mkutano katika ofisi za Serikali za Vijiji vyao ili kupata mwafaka wa haki zao, wananchi hao waligoma.

Baada ya kuona vurugu zinakuwa kubwa polisi waliingilia katina walianza kurusha risasi na mabomu ya kutoa hewani ili kuwatawanya wananchi.

Katika vurugu hizo watu 14 walikamatwa, lakini vinara wa vurugu hizo walitimua mbio kukwepa mkono wa sheria na polisi wanaendelea kuwasaka.

Kuanzia jana mgodi huo upo chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi kutoka Shinyanga wakishiriana na wa wilayani Kahama.


Na Shija Felician, Kahama

Tuesday, April 22, 2008

Maoni ya Watanzania

Pole jamaa wote wa Dito na CCM kwa ujumla,lakini hiyo ni njia ya wote na yeye Dito katangulia nasi tupo nyuma.TANGULIA BABA!NENDA BABA!wasalimie JK wa Butiama na umwambie TZ inayumbishwa na JK wa Chalinze.

na sungura, Tz, - 21.04.08 @ 08:51 #7617

Bwana Ditopile apumzike kwa amani peponi. Wakikutana na dereva wa daladala ahera wasameheane. Viongozi wetu mafisadi wajifunze katika tukio hili. Mali, utajiri, ubinafsi, umwamba, ukuu wa mkoa, uwaziri, bastola, nk. pamoja na mwili wenyewe tunaoustarehesha mahotelini na vx landcruisers tutaviacha hapahapa duniani. Roho pekee itaenda mbele za haki. Ee Mungu uniumbie roho safi. Roho nyenyekevu na iliyopondeka ee Mungu hutaidharau.

na Christian - 21.04.08 @ 09:10 #7623

Mungu wa milele ni HAKIMU mwenye HAKI. Amependa kuiita kwake kesi ya mauaji ya maskini Mbonde aihukumu mwenyewe. Kila mmoja kati ya wahusika hawa wawili wamekutwa mauti wakiwa njiani. Mmoja akiwatafutia watoto wake riziki ya mlo mmoja kwa siku na mwingine akijimwaga na TV Hilux Hotel. Mmoja akiwa na kondakta wake na mwingine akiwa na mkewe (!!!) chumbani. Kwako Baba wa mbinguni tunaomba REHEMA. Kwako hakuna kujuana wala kupenyeza vijisenti. Kwako hakuna dereva wa daladala wala mkuu wa mkoa. Kwako sote tu binadamu uliotuumba kwa sura na mfano wako. UTUREHEMU, e Bwana.

na Muumini - 21.04.08 @ 09:16 #7626

KWANZA WAPO POLE SANA WAFIWA NA NAWAOMBA WAWE MUNGU AWAPE MOYO WA UVUMILIVU, KWA WAANDISHI NAONA MNAPOTOSHA KUSEMA ALIYEKUWA MKUU WA TABORA, ANDIKENI ALIYEWAHI KUWA MKUU WA TABORA.

na Mselema, TANZANIA, - 21.04.08 @ 09:57 #7641

Hizi habari eti Br. Ditto amekutwa na mauti akiwa na mkewe imetoka wapi? Mbona ukweli unapindishwa hata katika tukio tukufu la kifo! Bro. Ditto alikuwa na msichana mwingine chumbani pale Hilux hotel. Au kwa kuwa waislaimu waweza kuoa wake wengi basi msichana huyu anabambikiziwa kuwa mke ili kutunza heshima ya Ditto? Lakini ficho hili limekuja kwa kuchelewa maana hapa Morogoro hili jambo limeshakuwa gumzo mtaani, na chanzo cha habari hii ni hapohapo Hilux hotel. Yaleyale ya njia ya panda ya Bagamoyo na Kawe! Mwanamke katomea gizani baada ya kuona zali! Tumuachie Mungu, mkewe halali na familia yake. Apumzike kwa amani. Amina.

na Rashid, Kilakala, Morogoro., - 21.04.08 @ 10:15 #7645

Mshahara wa dhambi ni mauti.Ndo fundisho kwa wale wanaopenda kunyanyasa wengine kwa fedha,na kiburi na kupindisha sheria za nchi kwa kutumia fedha.Mungu aliona kabisa kesi hii mzee Dito angeshinda,hivyo ameamua kumwondoa asije tena akaua watanzania wengine,maana inawezekana angerudia kosa makusudi akijua sheria haina nguvu ya kumuhukumu.Mungu si Athumani hana upendeleo.ALAZWE HUKO WALIKOLAZWA WATU WA AINA YAKE WAKINA IDD AMINI DADA,SAMWEL DOE,ALDOLF HITLER,

na Marian, Germany, - 21.04.08 @ 10:17 #7646

Allah ametuleta duniani kwanjia anayoijua yeye Mfalme wa ardhi na mbingu.Anajua tulilolijua, kwanini Dito amemchukua, wewe na mimi tutaondokaje ni yake yeye. Alijua dereva Mbonde alivyomchukua. Tuwaombee awalaze pema peponi.Tuliobaki tusiwe mashetani kwa kuhukumu uwezo wa Allah. ''INALILAH WAINAHILAH RAJUHUUN''

na Makalo B. , Tnga, Tz, - 21.04.08 @ 10:28 #7650

Kweli tujifunze kutoka kwa Ditto. duniani uongo mwingi,rushwa,ukubwa kwa MUNGU wote sawa haki haipotei tusali na tutende mema siku zote Mungu atusaidie

na ALEX PETER, MBEYA, - 21.04.08 @ 10:51 #7708

Jamani tusipende kuhukumu wenzetu wapokufa mimi na wewe hatujui tutakufaje na tunasahau neno la mungu linasema tusameheane na usihukumu usije ukahukumiwa.

na mwenda kwao, porini, - 21.04.08 @ 08:28 #7718


kwa niaba ya
Ulimboka Tuntufye,
Technical Training Supervisor- Process and Services,
Geita Gold Mine Ltd,
P.O.Box 532,
Geita - Mwanza.
Phone:- +255 (0) 28 2520 500 Ext. 1261
Cell phone:- + 255 (0) 755 37 12 19

Friday, April 4, 2008

Habari zilizotufikia hivi punde ndege aina ya sessna imeangukauwanja wa ndege wa mwanza muda si mrefu na kuua watu wote na hakuna aliepona,,katika ndege hiyo kulikuwapo watanzania na wacanada,,mpaka sasa tunavyoandika maiti bado zina tolewa vipendevipande, ,mwenyezi mungu awalaze mahali pema peponi