Tuesday, February 19, 2008




Waliopigwa Kiteto....

Huyo ni kiongozi wa Chadema Bw. Baraka Daudi baada ya kupewa mkong'oto kwenye Kituo cha Polisi huko Kiteto.




Hawa ni viongozi wengine wa Chadema wakiwa kituo cha Polisi baada ya kupigwa wakiwa mikononi mwa Polisi.