The secret of life is to make the best of whatever comes along, Make every day fresh and new, Go in search of knowledge and experience. *********************************** Let your questions and your answers reconcile. Do your best to remember that the best kind of learning curve is an educated smile. *********************************** Share your magic with the people who share your memories Let your feelings run deep. *********************************** Be in touch with the people who live in your heart. Be a caring person who plays for keeps. *********************************** To really know what success means, earn it. don't rely on some elevator to get you there. the higher the floor you want to reach, the more important it is to take the stairs. *********************************** The easiest leassons to remember are the ones you learn the hard way! *********************************** Appreciate the little things that make each day unique and special. *********************************** HAVE A GREAT DAY
No one is born happy...But all of us are born with the abilityto create happiness....................So today, Make others happy............
Enyi wanamtandai, ujumbe upokeeni, Leo hii tumeona, tuje kuwaelezeni, Yote totakayonena, myaweke akilini, Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu.
Tunawauliza swali, tafadhali sikieni, Yeyote mwenye akili, asikize kwa makini, Aliye Mzalendo kweli, ajibu toka moyoni, Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu. .
Gonjwa la Ukimwi lipo, mijini na vijijini, Na waathirika wapo, wengi wasio kifani, Je wewe hapo ulipo, umesaidia nini? Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu.
Dawa za kulevya nazo, nyingi zauzwa sirini, Waathirika wa hizo, twawaona mitaani, Katika hili tatizo, watoa shauri gani? Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu..
Wewe mwana Mtandao, umefanya jambo gani? Kutenda au kunena, kama Mt. Yoseph Ulipita kila kona, kwa wenzetu mitaani? Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu.
Je kueneza Democrasia, kwa ndani na mipakani, Kuutangaza ukweli, wa habari za undani, Ulitekeleza hili, au uliingia mitini? Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu.
Nataka kuwaeleza, hata muwe na Imani, Ya mafisadi kufukuza, tena kukesha madani, Wajibu mkipuuza, hamtafika kileleni, Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu.
Hata mkienda misa, asubuhi na jioni, Wajibu mkautosa, mkauweka pembeni, Elewa hilo ni kosa, kwa wanaharakati wote, Mada zetu ni mwanga wa ulimwengu.