Habari zilizotufikia hivi punde ndege aina ya sessna imeangukauwanja wa ndege wa mwanza muda si mrefu na kuua watu wote na hakuna aliepona,,katika ndege hiyo kulikuwapo watanzania na wacanada,,mpaka sasa tunavyoandika maiti bado zina tolewa vipendevipande, ,mwenyezi mungu awalaze mahali pema peponi
Friday, April 4, 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)