Tuesday, February 12, 2008

Hizi ndizo amri kumi za Tanzania, kama unataka kuinusuru Tanzania isiuzwe inakubidi izufuate:-
1. Usiwe mlaghai kama Karamagi

2. Usiwe fisadi kama Balali

3. Usiwe mbishi kama Zitto

4. Usiwe makelele kama Makamba

5. Usiwe mbabe kama Sitta

6. Usihukumu kama Mudhihiri

7. Usiuwe kama Ditopile

8. Usidandie hoja kama Mrema

9. Onea huruma nchi kama Dr. Slaa

10. Usiwe na tamaa kama Lowasa

No comments: