MWENYEKITI TUME TEULE YA BUNGE: "Waziri Mkuu ameshiriki katika kuibeba Richmond" pwa pwa pwa pwaaaaaaaaaaaaaaa MAKOFIIIII (JANA
WAZIRI MKUU : "Nimemwandikia Rais barua ya kubwaga manyanga. Lakini sikubaliani kabisa na taarifa ya Kamati Teule ya Bunge. Ni mambo ya siasa za Dar Dar es Salaam. Kwanini wasinihoji. Wamenionea.. ..." Pwa pwa pwa pwaaaaaaaaaaaaaaa MAKOFIIIII (LEO)
BUNGE LETU HILO, BWANA
WACHA NA TUSIKIE MJADALA JIONI NDANI YA JUMBA. NA TUSIKIE RAIS ANASEMAJE. LAKINI YOTE KWA YOTE,KAMATI IMETIMIZA WAJIBU WAKE BARA BARA. NA WAZIRI MKUU KACHUKUA HATUA MUAFAKA (Hata kama kwa kuchelewa maana kelele zilishakuwa nyingi juu ya Waziri Mkuu. BADO LA MVUA YA 'WAGANGA WA THAILAND???? )
Nawasilisha
Tuesday, February 12, 2008
BUNGE LA TUKUFU LA TANZANIA:
at
5:08 PM
Posted by
Mwanaharakati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment