Marekani ina mpago wa kutoa mafunzo kwa wafanyabiashara wa Tanzania, yanayolenga kuwajengea uwezo wa kufanya biashara na nchi hiyo kupitia soko la Agoa.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Tim Cleacke amesema umuhimu wa kutoa mafunzo hayo unatokana na nia ya serikali ya nchi yake ya kuisaidia Tanzania katika jitihada zake za kukuza uchumi na kujikwamua na umaskini.
Alikuwa akizungumza na baadhi ya wafanyabiasha wa mkoa Arusha katika mkutano ulioandaliwa na chama cha wafanyabiashara wa mkoa huo TCCIA
Wednesday, March 26, 2008
Marekani kutoa mafunzo kwa wafanyabiashara wa Tanzania
at
9:28 AM
Posted by
Mwanaharakati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment