Monday, May 19, 2008

UFISADI NHIF

Jamani wadau nasikia kuna ufisadi ndani ya NHIF,

  1. Mgongano wa Kimaslahi na “Hongo” kwa viongozi wa Bodi na Wizara ya Afya
  2. Kupindisha taratibu maksudi kwa maslahi Binafsi
  3. Ufujaji wa fedha
  4. Huduma Mbovu za Mfuko
  5. Dharau na Mienendo isiyokubalika katika jamii
Je mnalolote la kuongelea juu ya huu UFISADI

No comments: