Wednesday, May 21, 2008

Balali ameaga dunia


Jamani kama Mungu anatusamehe kila inapoitwa leo naomba na sisi tumsamehe aliyekuwa Governor wa BOT (David Balali)


Mzee Daudi Balali (pichani) amefariki, (soma Jamii Forums) na mazishi yake yatakuwa Washington D.C. hapa Marekani!


Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema poponi Ameni.

No comments: