Monday, March 31, 2008

Wizara ya MiundoMbinu inafanya nini?

Hii ni Mvua ya siku moja Dar Je! ingeendelea kunyesha kwa muda wa wiki moja sii ni kiama tena? Sababu kama mifereji ya kupelekea maji imeziba na wizara zinakodolea macho nini kinafuata mvua kama hii ikiendelea kwa wiki nzima.




No comments: