Thursday, February 14, 2008


14/2/....... nisiku maarum kwa watu wapendanao (familia, Marafiki) nisiku ambayo hasa hasa husherekewa na Vijana lika kati ya 14-25 ndio huwa na moto sana. Valentine sio ngono ila watu wanaipeleka kuwa ngono kwa kufanya mambo yasiyostahili kitu kina jenga hisia mbaya kwa jamii. Nawashauri siku ya leo 14/2/2008 jitahidi kuangaria wapi hukuwa sawa ktk mahusiano either ya Mume& Mke (Familia kwa ujumla + watoto), Jamii inayokuzunguka, na Marafiki jirudi na uanze upya niwakati wa kupanga na wenzi wako.


Catherine & Shumbusho wanawatakia watanzania wote Heri ya Wapendanao

No comments: